Monday, March 23, 2015

SERIKALI KILIMANJARO YAPONGEZA JITIHADA ZA WAFANYABIASHARA KUTANGAZA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO.


Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimvisha taji,mfanyabiashara mashuhuri katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Vicent Laswai mara baada ya kufanikiwa kufika katika Kilele cha Mlima Kilimanjaro.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimkabidhi cheti mfanyabiashara mashuhuri,Vicent Laswai kwa niaba ya hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA ) mara baada ya kufanikiwa kufika katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.
RC Gama akikabidhi zawadi za T-shirt kutoka KINAPA kwa mke wa mfanyabiashara ,Laswai ,Bi Marry Laswai wakati wa hafla fupi ya kukabidhi Cheti kwa mfanyabiashara huyo baada ya kufanikiwa katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.wengine wanao shuhudia ni Mhifadhi mkuu KINAPA,Erastus Rufungulo,na kulia ni mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akizungumza mara baada ya kukabidhi Cheti kwa mfanyabiashara Laswai.
Mfanyabiashara Vecent Laswai akisimulia changamoto na mambo mazuri aliyikutana nayo wakati akipanda Mlima Kilimanjaro na kufika katika kilele cha Uhuru.
Meneja Maendeleo ya Biashara wa Kibo Palace Hotel ,Charity Githinji akimvisha Laswai tochi maalumu ambayo imekuwa ikitumika wakati wa kupanda Mlima Kilimanjaro 
Mfanyabiashara Laswai akionesha vifaa alivyokuwa akivitumia wakati wa zoezi la kupanda mlima Kilimanjaro.
Laswai akipongezwa na mfanyabiashara mwenzake wa Mjini Moshi Ibrahim Shayo maarufu kama Ibra line mara baada ya kufanikiwa kufika kilele cha mlima Kilimanjaro na kurudi salama.
Baadhi ya wageni waliofika katika hafla fupi ya kukabidhiwa cheti kwa mfanyabiashara Laswai.
Mhifadhi mkuu Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro,Erastus Rufunguro akizungumza wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Hotel ya Kibo Homes.
Mhifadhi mkuu Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro,Erastus Rufunguro akizungumza wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Hotel ya Kibo Homes.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kibo Group of Company wakiwa katika hafla hiyo.

No comments: