Mfanyakazi
wa Vodacom Tanzania Esther Mattle akimuuliza swali Mkaguzi Msaidizi wa
Jeshi la Polisi Dawati la Jinsia Mkoa wa Kinondoni, Inspekta Prisca
Komba, wakati wa semina ya masuala ya jinsia iliyoandaliwa na kampuni
hiyo kwa ajili ya wafanyakazi iliyofanyika Mlimani City jijini Dar es
Salaam leo.
Baadhi
ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakifuatilia mafunzo ya masuala ya
jinsia yaliyokuwa yakitolewa kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo Mlimani
City jijini Dar es Salaam leo na Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi
Dawati la Jinsia Mkoa wa Kinondoni, Inspekta Prisca Komba (hayupo
pichani)
Mkaguzi
Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dawati la Jinsia Mkoa wa Kinondoni,
Inspekta Prisca Komba (kushoto) akiongozana na Ofisa Mkuu wa Idara ya
Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Georgia Mtagahywa kuelekea
ukumbini ambako aliongoza semina ya masuala ya jinsia iliyoandaliwa na
kampuni hiyo kwa ajili ya wafanyakazi wake iliyofanyika Mlimani City
jijini Dar es Salaam leo.
No comments:
Post a Comment