|
Mwenyekiti wa
NCCR-Mageuzi ,James Mbatia akizungumza wakati wa
mkutano wa hadhara uliofanyika katika
viwanja vya ghalani katika mji mdogo wa Himo jimbo a Vunjo alipokuwa akiwashukuru wakazi
wa jimbo hilo kwa kukipa ushindi
chama chake katika uchaguzi wa serikali za Mitaa ulimalizika hivi karibuni. |
|
Mbunge wa jimbo la
Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akizungumza na wananchi katika jimbo la Vunjo,wakati wa mkutano
wa hadhara ulioitishwa na
Chama cha NCCR-Mageuzi kwa lengo la kuwashukuru kwa kuchagua wenyeviti wengi waliotokana na chama cha
NCCR-Mageuzi,mkutano uliohutubiwa pia
na Mbunge wa kuteuliwa na rais,James Mbatia. |
|
Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano
huo. |
|
Mh Nassari na Mh Mbatia wakitoa salamu kwa
mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano huo .
Viongozi wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo ,(Chadema) jimbo la Vunjo wakiteta jambo wakati wa mkutano
wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Ghalani ,mji
mdogo wa Himo ,mkutano uliokuwa na lengo la kuwashukuru wananchi wa
Jimbo la Vunjo kukipa chama hicho viti vingi katika uchaguzi wa
serikali za Mitaa,vijiji na Vitongoji.
Baaadhi ya viongozi waliochaguliwa wakati wa
uchaguzi wa serikali za Mitaa,vijiji na Vitongoji uliofanyika mwishoni
mwa mwaka jana. |
|
Mamia ya wananchama na mashabiki wa chama
cha NCCR-Mageuzi wakimsikiliza ,Mh Mbatia(hayupo
pichani) |
Na Dixon Busagaga wa Globu
ya Jamii
Kanda ya Kaskazini.
No comments:
Post a Comment