Wednesday, December 24, 2014

MKURUGENZI WA KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA IRINGA GNSM ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA YATIMA TOSAMAGANGA

Watoto   wakifurahia msaada  wa chakula
Mlezi  wa  kituo  cha yatima   Tosamaganga  Godfrida Mhongole  kushoto akiwapongeza Mungai na mkewe kwa  msaada wa chakula
Bi sarafina Mungai  akiwa na watoto yatima
majengo ya  kituo hicho
Mungai na mkewe  wakiwa na  watoto  yatima
Mungai na mkewe  wakiwa na watoto  yatima  huku  gari  lililopeleka msaada wa  chakula  likiendelea kushusha
watoto  wakifurahia  msaada  huo


No comments: