Monday, May 23, 2016

UZINDUZI WA KARIAKOO FAMILY DEVELOPMENT FOUNDATION NI MFANO WA KUIGWA..

Akizungumza na Wanachama wa kariakoo family hawapo pichani,  katika Uzinduzi wa Kariakoo family Development Foundation Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi polisi mstaafu Jamal Rwambow  amekitaka  chama hicho kinacho wajumuisha wakongwe wa kariakoo waliotengeneza kikundi hicho kwa lengo la kushirikiana mambo mbalimbali na mambo mengine mengi kwa umoja wao.
Mwenyekiti wa kariakoo family development fund mh.mohamed bhinda akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa City Lounge jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kariakoo Family Foundation, Mohamed Bhinda akiwa na Jamal Rwambow (mwenye suti nyeusi) wakikata keki mara baada ya kuzindua  mfuko huo.
Wakongwe wa Kariakoo Senpai na Waheed na Senpai Yusuf Kivuli wakiwa katika shoo ya mazoezi ya viungo katika uzinduzi wa Kariakoo Family Foundation hivi karibuni.
 Mkurugenzi wa MMG, Muhdin Issa Michuzi akilishwa keki katika uzinduzi wa Kariakoo Family Development  Foundation hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Picha ya Pamoja ya Wanakariakoo na Mgeni Rasmi.

No comments: