Friday, March 4, 2016

WANANCHI WA SEGEREA WATINGA MAHAKAMA YA ARIDHI LEO JIJINI DAR ES SALAAM.

Diwani wa Kata ya Tabata, Patric Assenga akizungumza na wananchi wa Segerea ambao walifika katika Mahakama Kuu kitengo cha Ardhi kusikiliza ombi la kibali cha kufungua kesi ya kupinga ubomoaji wa nyumba za wananchi wa segerea leo jijini Dar es Salaam,kulia ni Naibu Meya wa Ilala, Omary Kumbilamoto.kesi hiyo imearishwa na Jaji Fredrica Mgaya kutokana na wakili wa serikali kupatwa msiba na itasikilizwa tena Machi 8 mwaka huu katika mahakama hiyo.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akizungumza na waandishi hawapo pichani mara baada ya kutoka Mahakama Kuu kitengo cha Ardhi kusikiliza ombi la kibali cha kufungua kesi ya kupinga ubomoaji wa nyumba za wananchi wa segerea leo jijini Dar es Salaam, ,kesi hiyo imearishwa na Jaji Fredrica Mgaya kutokana na wakili serikali kupatwa msiba na itasikilizwa tena Machi 8 mwaka huu katika mahakama hiyo.
Wananchi wa segerea wakiwasilikiliza viongozi wao Mahakama Kuu kitengo cha Ardhi waliofika kusikiliza ombi la kibali cha kufungua kesi ya kupinga ubomoaji wa nyumba za wananchi wa segerea leo jijini Dar es Salaam,.kesi hiyo imearishwa na Jaji Fredrica Mgaya kutokana na wakili serikali kupatwa msiba na itasikilizwa tena Machi 8 mwaka huu katika mahakama hiyo. 
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globul ya jamii)

No comments: