Thursday, February 18, 2016

katibu mkuu wizara ya habari,utamaduni,sanaa na michezo akutana na Bodi ya Wakurugenzi ya TSN.

Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya magazeti ya Serikali ya Tanzania Standard Newspaper Ltd (TSN) wakimskiliza Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel (hayupo pichani) wakati wa kikao cha kuzungumzia changamoto mbali mbali za kampuni hiyo.kutoka kulia ni Dkt Consolatha Ishebabi,Dkt Evelyn Richard na Bw,Alfred Nchimbi.
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akizungumza jambo na mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya magazeti ya Serikali ya Tanzania Standard Newspaper Ltd (TSN) Bw.Prof Moses Warioba (kushoto).
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo (wa kwanza kulia) akizungumza na wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya magazeti ya Serikali ya Tanzania Standard Newspaper Ltd (TSN) kuhusu changamoto mbalimbali za kampuni hiyo leo jijini Dar es Salaam. Kulia kwa katibu mkuu ni Prof Moses Warioba ambaye ni mwenyekiti wa bodi hiyo.
Picha na Daudi Manongi-WHUSM.

No comments: