Sunday, October 11, 2015

MILIPUKO YAUA WATU ZAIDI YA 52 UTURUKI....

                             Turkey234Turkey2343

Majeruhi wakiokolewa kutoka eneo la tukio.Turkey2323
Hali ya sintofahamu ikitanda eneo la tukio.Turkey2222
Hali ilivyokuwa baada ya mashambulizi hayoTurkey234
Waliojeruhiwa wakisaidiwa na ndugu na jamaa zao.Turkey233
Miili ya makumi waliopoteza maisha wakati wa mashambulizi hayo.Turkey4344
Waturuki wakikimbia kutoka eneo la tukio ili kuokoa uhai wao. Turkey222
Uokoaji ukiendeleaTurkey22
...Waliopoteza maisha.Turkey2
Vilio vikitawala.Turkey1
Kikosi maalum cha uokoaji wakiwa kaziniTurkey
Hali ilivyokuwa eneo la tukiuo.
Ankara, Uturuki
Milipuko miwili imetokea wakati wa mkutano wa hadhara wenye lengo la maandamano ya amani katikati mwa Mji Mkuu wa Uturuki, Ankara asubuhi ya leo na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 52 na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa vibaya.


Picha za televisheni zilionyesha watu waliokuwa na hofu na wengine wakiwa wamelala chini wakiwa wametapakaa damu miilini mwao. Wakati duru ya pili ya uchaguzi wa ubunge ikitarajiwa kufanyika mwezi ujao, maandanmano hayo yalipangwa na vyama vya wafanyakazi wakitaka kumalizika kwa mashambulizi yanayoendeshwa na serikali dhidi ya wanamgambo wa Kikurdi.

No comments: