Sunday, September 6, 2015

WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAPATIWA MAFUNZO YA UREMBO NA MSHAURI WA KITAALAMU WA KAMPUNI YA KIMATAIFA YA MARY KAY....

 
  Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakichagua vipodozi mbalimbali vya kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya urembo (Mary Kay) wakati wa mafunzo mafupi  ya jinsi ya kujiremba kwa kutumia vipodozi hivyo.Mafunzo hayo yaliandaliwa na Idara ya Rasilimali watu ya kampuni hiyo mahususi kwa wafanyakazi wake. 
Jacqueline Macha ambaye ni mshauri wa kitaalamu wa kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya urembo ya Mary Kay akiwaonesha wafanyakazi wa Vodacom Tanzania moja ya picha iliyorembwa kwa kutumia vipodozi vya kampuni hiyo wakati wa mafunzo mafupi ya jinsi ya kutumia vipodozi hivyo.Mafunzo hayo yaliandaliwa na Idara ya Rasilimali watu ya Vodacom Tanzania  mahususi kwa wafanyakazi wake jijini Dar es Salaam. 
   Mkuu wa kitengo cha Rasilimali watu wa Vodacom Tanzania,Joan Makwai (kulia) akimsikiliza kwa makini Jacqueline Macha ambaye ni mshauri wa kitaalamu  wa kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya urembo ya Mary Kay akifafanua jambo kwa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakati wa mafunzo mafupi  ya jinsi ya kutumia vipodozi vya kampuni hiyo .Mafunzo hayo yaliandaliwa na Idara ya Rasilimali watu ya kampuni hiyo mahususi kwa wafanyakazi wake jijini Dar es Salaam. 
Baadhi ya wafanyaka wa Vodacom Tanzania walioshiriki katika mafunzo mafupi  ya jinsi ya kutumia vipodozi vya kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya urembo  ya Mary Kay,wakimsikiliza Mshauri wa kitaalamu  wa kampuni hiyo Jacqueline Macha,wakati wa mafunzo mafupi ya jinsi ya kutumia vipodozi vya kampuni hiyo yaliyoandaliwa na Idara ya Rasilimali watu ya Vodacom Tanzania,mahususi kwa wafanyakazi wake jijini Dar es Salaam.
Vipodozi vya urembo kwa wanawake vya kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya urembo  ya Mary Kay.
Mshauri wa kitaalamu  wa kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya urembo ya (Mary Kay) Jacqueline Macha(kulia)akimremba Mkuu wa kitengo cha Rasilimali watu wa Vodacom Tanzania,Joan Makwai,wakati wa mafunzo  mafupi ya jinsi ya kutumia vipodozi vya kampuni hiyo yaliyoandaliwa na Idara ya Rasilimali watu ya Vodacom Tanzania,mahususi kwa wafanyakazi wake jijini Dar es Salaam.
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, Edna Mtema (kushoto) akirembwa na Mshauri wa kitaalamu  wa kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na masuala ya urembo ya (Mary Kay) Jacqueline Macha kwa kutumia vipodozi vya kampuni hiyo wakati wa mafunzo  mafupi ya jinsi ya kutumia vipodozi vya kampuni hiyo yaliyoandaliwa na Idara ya Rasilimali watu ya Vodacom Tanzania,mahususi kwa wafanyakazi wake jijini Dar es Salaam.

No comments: