Monday, May 25, 2015

MWANJELWA NA KABWE LEO JIJINI MBEYA.

 mionekano tofauti tofauti ya wapiganaji mbalimbali wa biashara ndogo ndogo na wachakalikaji eneo la mwanjelwa na stendi ya kabwe jijini mbeya.picha zote na Fadhiri Atick (MR.PENGO) Mbeya.
mdau akitathmini baadhi ya viatu kilingeni kwake.
rumbesa la pamba nyepesi za leo leo mwanjerlwa.
mama akijaribu kusasambua nguo muhimu za ndani.
matunda yakiandaliwa mapemaa kando kando ya stendi ya mabasi ya mzunguko eneo la kabwe.
pilika pilikaza hapa na pale.
mzee wa matunda maji (matikiti) na kiwekwa chake.
                                                 baadhi ya abiria wakisubiri usafiri...
kondakta katika pozi golini kwake.
                                                              Stendi ikiwa imechanga mka.

No comments: