Friday, May 1, 2015

MKUU WA MKOA WA MBEYA MH:ABASI KANDOLO ALIVYO UNGANA WAFANYAKAZI KATIKA SIKUKUU YA WAFANYA KAZI LEO UANJA WA SOKOINE JIJINI MBEYA.

 Mkuu wa mkoa wa mbeya mh.Abasi Kandolo aungana na wafanya kazi mbalimbali katika sikuu ya wafanya kazi (mei mosi) na kuzungumza na wafanyakazi wa mkoa wa mbeya mapema leo katika uwanja wa sokoine jijini mbeya.
 bendi kutoka kikundi cha kihumbe ikiongoza maandamano kuingia uwanjani ambapo ndipo sherehe hii ilipo fanyika.
" MFANYAKAZI KAJIANDIKISHE KURA YAKO NI YA MUHIMU KWA MAENDELEO YETU"
           Baadhi ya wafanyakazi mbalimbali wakiingia uwanjani kwa maandamano.
 baadhi ya wafanyakazi wakisikiliza jambo katika hafra hiyo ya siku kuu ya wafanyakazi mkoani mbeya katika uwanja wa sokoine.
 mwenyekiti wa (TUCTA) mkoa wa mbeya mh.pili pili Sharubu akizungumza jambo na wafanyakazi mkoa wa mbeya katika sherehe ya wafanyakazi mkoani humo iliyo fanyika katika uwanja wa sokoine jijini mbeya.
 Ishara ya kupinga mkono sweta ikionyeshwa na baadhi ya madaktari wa hospitali ya rufaa juu ya tohara kwa wanaume.
 Mkuu wa mkoa wa mbeya mh.Abasi Kandolo akitunuku zawadi kwa wafanyakazi makina na wachapa kazi.
                                hivi ndivyo ilivyo kuwa.

No comments: