Saturday, May 16, 2015

MEYA WA ILALA AFUNGUA UZINDUZI WA UJENZI WA ZAHANATI YA MBONDOLE, MSONGOLA.

Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa akizungumza na wananchi wa Kata ya Msongola, Kijiji cha Mbondole katika uzinduzi wa Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji hicho jijini Dar es Salaam.
Diwani wa Kata ya Msongola, Angelina Makembeka akimshukuru Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa kwa kutembelea kijiji cha Mbondole jijini Dar es Salaam.
Mwanyekiti wa kijiji cha Mbondole akizungumza jana na wananchi wa kijiji hicho katika uzinduzi wa Ujenzi wa Zahanati ya Mbondole.
Mhasibu Mkuu wa Idara ya Afya wa Manispaa ya Ilala Geoffrey Massi akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mbondole katika uzinduzi wa Zahanati ya Mbondole.
Kutoka kushoto ni Mratibu wa Kifua Kikuu, Ukoma na UKIMWI wa mkoa wa Ilala DK. Mbarouk Seif Khaleif,katikati ni Kaimu Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilala Reuben Ngalomba na Mhasibu Mkuu wa Idara ya Afya wa Manispaa ya Ilala Geoffrey Massi wamkisikiliza kwa makini Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa hayupo pichani wakati akizungumza katika uzindizi wa Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Mbondole, Kata ya Msongola, Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa akiwa katika picha ya pamoja na wananchi wa Kijiji cha Mbondole.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mbondole, Kata ya Msongola, Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.

No comments: