Tuesday, May 12, 2015

KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASSA WAFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.

Safari ya siku tano kwa vijana hao ikahitimishwa katika kilele cha Uhuru Peak wakiongozwa na mratibu wa marafiki wa Lowassa Kanda ya Kaskazini Noel Nnko (mwenye koti jekundu)
Safari ya kurudi kiasi ilikuwa tatizo wakati mwingine baadhi yao walilazimika kupewa msaada kwenye kifaa maalumu cha kushushia wageni waliopata matatizo .
Baadhi ya vijana ambao ni marafiki wa Lowassa wakiwa katika safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro.
Kundi la marafiki wa Lowassa kutoka kana ya Kaskazini wakiwa katika kituo cha Kibo ,wakiwa katika maandalizi ya kuanza kwenda kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro.
Sehemu ya juu ya mlima Kilimanjaro ikiwa imefunikwa kwa theruji.
Kundi la Marafiki wa Lowassa wakiwa katika kituo cha Stella,kikiwa ni kituo cha mwisho kuelkea kilele cha Uhuru .
Mandhari mbalimbali zinayoonekana wakati wa kuupanda Mlima Kilimanjaro.
Na Dixon Busagaga wa 
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments: