mbunge Filikunjombe kulia na diwani wa kata ya Ludewa Monica Mchilo wakifukia nguzo ya umeme
wananchi na mbunge wakisaidiana kufukia nguzo ya umeme
wananchi na mafundi wa umeme wakijiandaa kubeba nguzo |
mbunge Filikunjombe akishiriki kubeba nguzo ya umeme. |
wananchi na mbunge Filikunjombe wakiwa wamebeba nguzo ya umeme. |
katibu mwenezi wa CCM mkoa wa NJOMBE Honoratus Mgaya akichimba shimo la nguzo ya umeme |
mbunge Filikunjombe akitoka katika shimo baada ya kumaliza kuchimba shimo moja la mfano kama kuhamasisha wananchi kushiriki katika maendeleo
........................................................................................................................................
Na MatukioDaima BLOG Ludewa
WANANCHI wa Ngalawale kata ya Ludewa wilaya ya Ludewa mkoani Njombe wameelezwa kufurahishwa na jitihada za kimaendeleo zinazofanywa na mbunge wao Deo Filikunjombe na kukionya chama cha mapinduzi (CCM) katika wilaya hiyo kutowaletea mgombea mwingine wa ubunge zaidi ya Filikunjombe.
No comments:
Post a Comment