Saturday, April 25, 2015

UTENDAJI KAZI WA FILIKUNJOMBE WAWAVUTIA WANANCHI WAKE LUDEWA.


Mbunge  wa Ludewa Deo Filikunjombe akishirikiana,viongozi wa CCM , wananchi na mafundi  wa mradi wa umeme kubeba nguzo za  umeme katika  kitongoji cha Ngalawale Ludewa kijijini kama  sehemu ya kuhamasisha wananchi kushiriki maendeleo
Mbunge Filikunjombe wa kwanza  kulia na katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Njombe Honoratus Mgaya wa  kwanza  kulia wakishirikiana na mafundi wa maradi wa  umeme vijiji kuvuta kama kwa ajili ya kusimamisha nguzo ya  umeme
 mbunge Filikunjombe kulia  na diwani wa kata ya Ludewa Monica Mchilo wakifukia  nguzo ya  umeme
 wananchi na  mbunge  wakisaidiana kufukia nguzo ya  umeme

wananchi na mafundi wa  umeme  wakijiandaa kubeba  nguzo

mbunge Filikunjombe  akishiriki  kubeba  nguzo ya  umeme.
wananchi na  mbunge Filikunjombe wakiwa  wamebeba nguzo ya  umeme.

katibu  mwenezi wa CCM mkoa wa NJOMBE Honoratus Mgaya akichimba shimo la nguzo ya umeme
mbunge Filikunjombe akiwa  chini ya shimo akishiriki  kuchimba shimo la nguzo ya  umeme  kitongoji cha ngalawale  kijiji  cha ludewa wengine ni diwani wa kata ya  Ludewa MONICA MCHILO ,katibu mwenezi wa ccm mkoa wa Njombe Honoratus Mgaya na katibu mwenezi  wa CCM ludewa FELIX Haule  wakishirikiana na mbunge  wao
 mbunge Filikunjombe akitoka  katika  shimo baada ya  kumaliza  kuchimba  shimo  moja la mfano kama kuhamasisha wananchi kushiriki katika maendeleo 
........................................................................................................................................

Na MatukioDaima BLOG Ludewa
WANANCHI wa  Ngalawale kata ya Ludewa  wilaya  ya Ludewa  mkoani Njombe  wameelezwa kufurahishwa na jitihada  za  kimaendeleo  zinazofanywa na mbunge  wao Deo Filikunjombe na kukionya chama   cha  mapinduzi (CCM) katika wilaya   hiyo kutowaletea mgombea mwingine  wa ubunge  zaidi ya Filikunjombe.

No comments: