Msanii anae fanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya Berdon Mnyama ambae ndie alie zindua albamu yake hivi karibuni iendayo kwa jina la Jionee akizungumza na baadhi ya wadau na wasanii wa muziki wa kizazi kipya katika hafra hiyo iliyofanyika hivi karibuni jijini mbeya.
Shoto ni mh.Sambwe Shitambala akipokea cheti cha shukrani kutoka kwa wasanii Berdon Mnyama, na Petronia kwa lengo la kumpongeza Mh.Sambwe Shitambala kwa kazi kubwa anayo ifanya juu ya kudhamini na kuwajari vijana hususani wasanii katika tasnia mbalimbali mkoani mbeya.
baadhi ya wasanii na wadau wa sanaa walio hudhuria katika hafra hiyo iliyo fanyika hivi karibun jijini mbeya.
DJ SPEED ON THE MIX.
BERDON MNYAMAAAAA AKITUSUAA.
Kamati nzima ya south side music ikiongozwa na bwana Agrey kati na Sigger Skillar kulia ndani ya mjengo.
Berdon na kipunga chake alicho pewa na mh.shitambala akinyolifya kwa wadau wake.
hivi ndivyo ilivyo kuwa.
No comments:
Post a Comment