Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla katika Akipanda mti
chanzo cha Ndoba- kijiji cha Galijembe
Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akizindua rasmi mradi kijiji cha Shongo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla apokelewa kwa
shangwe kijiji cha shongo
Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akizindua Maji kijiji
cha shongo
Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla na mbunge wa Mbeya Vijijini mch Luckson Mwanjale (kushoto) wakikata utepe kuashiria uzinduzi mradi maji
kijiji cha shongo
Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akiwa na machifu kijiji cha Shongo
Naibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akilakiwa na mbunge wa Mbeya Vijijini Mch. Luckson MwanjaleNaibu Waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akipokea zawadi kijiji cha Shongo |
No comments:
Post a Comment