Redds
Miss central Zone 2014/15 Doris Mollel akisaini kitabu cha wageni katika
hospitali ya mkoa Singida kabla ya halfla ya kukabidhi mashine mbili za
kupumulia kwa watoto waliozaliwa kabla ya muda wa kawaida zenye thamani
ya Tsh milioni 1.2. Waliopo nyuma ni warembo wengine wa Redds Miss
Central Zone Linda Bureta, Blath Chambia na Suzy Wahere.
Doris
Mollel akisema Maneno machache wakati akikabidi mashine mbili za watoto
kupumulia zenye thamani ya Tsh millioni 1.2 kwa hospitali ya mkoa wa
Singida kwa ushirikiano na Manifester brand.
Doris
akikabidhi mashine 2 za msaada wa watoto kupumulia zenye thamani ya Tsh
milioni 1.2 kwa mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Singida Dk.
Daniel Tarimo, msaada kwa ushirikiano na Manifester brand. Mgeni rasmi
kwenye hafla hii alikua ni mkuu wa wilaya ya Singida Bi. Queen Mlozi
(hayupo pichani).
Makabidhiano. Mashine mbili za msaada wa watoto kupumulia zilitolewa kwa ushirikiano na Manifester brand.
Doris
katika picha ya pamoja na mkuu wa wilaya ya Singida Bi. Queen Mlozi,
Mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Singida Dk. Daniel Tarimo,
Muandaaji wa Miss Singida Bi. Bora Lemmy na warembo wengine wa Redds
miss Central Zone.
Doris
kwenye picha ya pamoja na warembo wenzake wa central zone walioenda
kumuunga mkono. Linda Bureta, Blath Chambia na Suzy Wahere.
Akiwa na wafanyakazi wa wodi ya watoto
Alipata nafasi ya kuwaona watoto hawa wawili wazuri kwenye wodi yao
Kwenye picha nyingine ya pamoja.
Mtoto
aliyezaliwa kabla ya muda wa kawaida akiwa kwenye mrija wa kumsadia
kupumua uliounganishwa na mashine kama ambazo zimekabidhiwa na Doris.
Alipata
nafasi ya kuwasimulia baadhi ya kina mama waliojifungua watoto njiti
kuhusu historia yake na kuwapa moyo kwamba hata watoto wao pia watakua
na kufanikiwa kufika popote pamoja na kuzaliwa njiti.
Wakiwa na nyuso za furaha
No comments:
Post a Comment