Kama
panavyo jurikana kitonga na watu mbalimbali hususani wasafiri wa mikoani
wanao tumia mlima kitonga katika safari zao, leo libeneke hili
limeshuhudia ugumu wa kazi baada ya magari ya mizigo yafahamikayo kama
malori yalivyo kwama katika barabara ya kitonga kutokana na ukosefu wa
pumzi kutokana na safari kuwandefu na kupelekea madeleva wa malori hayo
kushuka kapuni na kujiongeza katika ukarabati wa michuma yao.
hapa
sasa ndo shurba hio ya malori kukwama, ikiwa imepamba moto kama unavyo
ona yakiwa yameziba barabara na kuleta ugumu wa kazi kwa magari yanayo
toka upande mwingine.
malori
hayo yakiwa katika hali mbaya katikati ya barabara huku vidume
vikijiongeza kwa kuthathiana juu ya upanguaji wa malori hayo.
No comments:
Post a Comment