Team Mapicha

Sunday, December 28, 2014

TAMASHA LA X-MAS LILIVYO FANA MJINI IRINGA.

2Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akicheza wakati mwimbaji Faraja Ntaboba akiimba kushoto ni mwimbaji Upendo Kilahiro akishiriki kucheza. 4Mwimbaji Edson Mwasabwite akiimba mbele ya mashabiki wake katika tamasha la Krismas kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. 5Mwimbaji Edson Mwasabwite akiimba mbele ya mashabiki wake katika tamasha la Krismas kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. 6
Tumaini Njole na kundi lake wakitumbuiza kwenye uwanja wa Samora mjini  7
Tumaini Njole akitumbuiza kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. 8
Baadhi ya mashabiki wakicheza muziki wakati wa tamasha hilo. 9Mwibaji Upendo Kilahiro akiimba jukwaani. 10Mwibaji Upendo Kilahiro akiimba jukwaani. 11Emmanuel Mgogo akifanya vitu vyake. 12
Martha Mwaipaja akiimba kulia ni mwibaji Bony Mwapiteje. 13
Mwimbaji Joshua Mlelwa akionyesha uwezo wake jukwaani. 14
Alex Msama kushoto akiwa na John Melele 15
Waimbaji Ambwene Mwasongwe na Solomon Mkukubwa wakiongoza waimbaji wenzao jukwaani wakati alipokuwa wakiimba kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa. 16
Upendo Nkone akiimba mbele ya mashabiki wake
.17
Upendo Nkone kulia na Tumaini Njole wakicheza jukwaani.
19
Mwimbaji Bony Mwaitege akifanya vitu vyake jukwaani
Posted by Fadhiri Atick on December 28, 2014
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

FADHIRI ATICK

  • Fadhiri Atick
  • Othman Michuzi

Total Pageviews

MAHAKIMU NA MAJAJI

https://photos.app.goo.gl/LTM49wt1d7fabS2F6

HOME

  • HOME
  • MUSIC
  • EVENTS
  • VIDEOS
  • IMAGES
  • COMEDY
  • CONTACTS US
  • MOVIES
  • PENGOZZ
  • POLITICS..
  • MICHUZI TV
  • MR.PENGO BLOG
MR.PENGO @2015. Travel theme. Powered by Blogger.