Mkurugenzi
Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi
na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akifafanua jambo nje
ya maktaba inayofadhiliwa na UNESCO na kuwanufaisha wanafunzi wa shule
ya sekondari Ololosokwani na vijana wa kata hiyo kupanua uelewa zaidi
kwa kusoma vitabu mbalimbali wakati akikagua miradi mbalimbali
inayofadhiliwa na shirika lake. Kushoto ni Diwani wa kata hiyo ambaye
pia ni Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ndoinyo.
Mkurugenzi
Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi
na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akiwa kwenye
mazungumzo na viongozi wa juu wa halmashauri ya kijiji wakati wa ziara
yake kijijini hapo mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mkurugenzi
Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi
na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues katika picha ya pamoja
na uongozi wa halmashauri ya kijiji cha Ololosokwan mara baada ya
mazungumzo.
Bi.
Zulmira Rodrigues katika picha ya pamoja na baadhi ya wanakijiji wa
kijiji cha Ololosokwan kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro mkoani
Arusha.
Mkurugenzi
Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi
na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues katika picha ya pamoja
na wakina mama wa kimasai wa kata ya Ololosokwan kijiji cha
Ololosokwani wilayani Ngorongoro mkoani Arusha mara baada ya kikao na
halmashauri ya kijiji hicho.
Bi. Zulmira Rodrigues akiagana na baadhi ya wakinamama wa kimasai mara baada ya kikao cha halmashauri ya kijiji hicho.
Mkurugenzi
Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi
na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues (kulia) akifafanua
jambo wakati wa kukagua eneo ambalo mitambo na miundombinu ya mradi
itawekwa kwenye sehemu iliyotengwa na halmashauri ya kijiji kwa ajili ya
kijiji cha dijitali cha Samsung. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa bodi
ya RAMAT, Pokare Koitumet, Diwani wa kata hiyo ambaye pia ni Mkurugenzi
wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ndoinyo pamoja na Chifu wa
kijiji cha Ololosokwan kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro mkoa wa
Arusha.
Muonekano wa eneo hilo huku Bi. Zulmira Rodrigues akiendelea kulikagua.
No comments:
Post a Comment