Monday, June 13, 2016

KAMERA YA GLOBU YA JAMII NA TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA BARABARA YA MBEYA TUNDUMA....

Pichani ni Muonekano wa Barabara ya kutoka Mbeya kuelekea Tunduma mpaka Mkoani Rukwa, na hiki ni Kipande Kidogo cha Njia panda ya Mlowo Mbozi Mkoani Songwe kama ambavyo kinaonekana katika Taswira ni chenye Kumeremeta.
Hiki pia ni kipande Kidogo cha Barabara hiyo ya Mbeya Tunduma na hapa pia ni Njia panda ya kuelekea Vwawa ni mara baada ya kutoka Mlowo Mbozi Mkoani Songwe.
Baadhi ya Wafanya Bishara Wa Kuza Matunda Wakiwa katika Kilinge chao Cha kufanyia Biashara Zao eneo la Mpemba Wilayani Momba..
Wataalamu wa kuendesha Gari Ng'ombe wakiwa Sambamba na Gari lao Kando kando ya Barabara hiyo..
Gari Ng'ombe likianza Safari ya kuchanja Mbuga...
Baadhi ya Wakazi wa Eneo la Mlowo Mbozi wakiwa Wamekaa Kando Kando ya Barabara hiyo bira kuwa na Hofu Ya Kuogopa Magari.

No comments: