Saturday, March 5, 2016

WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS - MAZINGIRA NA MUUNGANO, JANUARY MAKAMBA AKUTANA NA WANAUWAMITA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira na Muungano Mheshimiwa January Makamba akiangalia baadhi ya sampuli za mifuko isiyoharibu mazingira ambayo inatengenezwa na Umoja wa Watengeneza mifuko isiyoharibika Tanzania (UWAMITA) Kulia  ni Mwenyekiti wa kikundi hiko Jumanne Mgude.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira na Muungano Mheshimiwa January Makamba, akiongea na Wanakikundi wa Umoja wa Watengeneza Mifuko isiyoharibika Tanzania (UWAMITA) walipomtembelea Ofisini kwake mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam leo.

No comments: