Tuesday, March 1, 2016

Benki ya NMB Yadhamini Mkutano wa Mwaka wa Wanasheria Tanzania.

Benki ya NMB imeendelea kuimarisha uhusiano wake na Chama Cha Wanasheria nchini (Tanganyika Law Society) kwa kuudhamini  mkutano wa mwaka kwa kiasi cha Tsh 10M kwaajili ya maandalizi na shughuli za mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa AICC jijini Arusha.
 Ofisa mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo Benki ya NMB PLC Abdulmajid Nsekela akiongea na wanasheria waliohudhuria Mkutano wa Mwaka wa Wanasheria uliyofanyika AICC mjini Arusha.


 Chama Cha Wanasheria nchini (Tanganyika Law Society) waliohudhuria Mkutano mkuu wa mwaka katika ukumbi wa AICC jijini Arusha.

No comments: