Thursday, February 4, 2016

SHEREHE ZA KILELE CHA SHERIA ZA FAANA SANA MKOANI MBEYA....

     Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu Kanda ya Mbeya, Jaji Noel Chocha akihutubia katika Sherehe za Kilele cha Sheria Nchini zilizo fanyika Kimkoa katika Ukumbi wa Mkapa Jijini Mbeya. Mkuu wa Mkoa Mh.Abbas Kandoro akitoa neno kwa Wageni waalikwa hawapo Pichani katika Sherehe za Kilele cha Sheria Nchini zilizo fanyika Kimkoa katika Ukumbi wa Mkapa Jijini Mbeya.
Baadhi ya Wadau wa Sheria na Wageni waalikwa walio hudhuria Sherehe hiyo ya Kilele cha Sheria Nchini zilizo fanyika Kimkoa katika Ukumbi wa Mkapa Jijini Mbeya.
Mkuu wa Mkoa kulia akimpongeza Mmoja wa Waimbaji mahiri wa Kwaya ya Mahakama Kuu Bwana Masanja kwa kazi nzuri aliyo ifanya katika Tasnia yake ya Uimbaji na Ungozi mzuri wa Kwaya hiyo ya Mahakama Kuu.
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.

No comments: