Thursday, November 19, 2015

BOMOA BOMOA YA MAENEO YA WAZI YAENDELEA LEO MTAA WA BASIHAYA BUNJU JIJINI DAR.......

 Ubomoaji wa nyumba zilizopo kwenye maeneo ya wazi zikiendelea kubomolewa na manispaa ya Kinondoni pamoja na Wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi.
 Wananchi okota madafu mara baada ya kari la kubomoa kuangusha mnazi maeneo ya Basihaya Bunju jijini Dar es Salaam.
 Wananchi wakishuhudia bomoa bomoa ya manispaa ya Kinondoni.
Mwenye nyumba atoa bati za nyumba iliyo eneo la wazi.
Utekelezaji wa bomoa bomoa ukiendelea.
Muuza duka yamuta bomoabomoa ajitahidi kuokoa vitu vilivyopo chenya chumba hicho. 

Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii.

No comments: