Wednesday, October 14, 2015

Jk aongoza sherehe za kilele cha maadhimisho ya kuzima Mwenge Dodoma......

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma na kuvikwa skafu tayari kuongoza maadhimisho ya Kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu2015 na kumbukumbu ya miaka 16 ya kifo cha  Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Kauli mbiu ya mwaka huu ni “ Tumia haki yako ya kidemokrasia kupiga kura katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

 Baadhi ya wakazi wa mji wa Dodoma waliohudhuria sherehe za kilele cha maadhimisho yam bio za mwenge wa Uhuru.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika jukwaa malum akipigiwa wimbo wa taifa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma kuongoza maadhimisho yam bio za mwenge.

No comments: