Sunday, September 6, 2015

FM ACADEMIA WADONDOSHA SHOW YA NGUVU JIJINI MBEYA CHINI YA UDHAMINI YA KINYWAJI CHA K-VANT GIN...

Wanamuziki wa Bendi ya Fm Academia 'Wazee wa Ngwasuma' wakitoa burudani kwa mashabiki wao siku ya uzinduzi wa Hotel ya Mfikemo Sae jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.Picha Elvis Kimambo Jamiimojablog
Mashabiki na wadau wa Fm Academia wakiserebuka katika onyesho hilo.
Mkurugenzi wa Hotel ya Mfikemo Ndugu Lwitiko Mwandembele (katikati) Jofrey Ananiah kulia na wengine wakifurahia jambo siku ya uzinduzi wa hotel hiyo ambapo kuliambatana na onyesho la Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma'

Meneja Mauzo wa K-Vant Gin Kanda za Nyanda za Juu Kusini Ndugu Lisungu Kipiga pasi akiwa tayari kutoa huduma kwa wateja wake .
Wadau wa burudani ,Pesi,Jofrey Ananiah ,Brand Nelson ,Kosima Patrick

No comments: