Friday, May 8, 2015

SEMINA YA WANAHISA WA BENKI YA CRDB YAFANYIKA ARUSHA.

Katibu wa Benki, John Rugambwa akizungumza wakati wa semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB.

                                             Wanahisa.
Baadhi ya maofisa wa Benki ya CRDB wakiwa katika semina hiyo.
                                             Wanahisa.
                 Wanahisa wakifuatilia semina hiyo.
Meneja Mwandamizi Huduma za Uwakala, Jessica Nyachiro akitoa mada kuhusu Fursa kupitia Uwakala wa Benki ya CRDB, wakati wa semina ya Wanahisa wa benkihiyo iliyofanyika katika ukumbi wa AICC jijini Arusha.
Mkurugenzi wa Masoko Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa (kushoto) akifuatilia semina hiyo.
Prof. Mohamed Warsame kutoka Kampuni ya Dhow Financials akitoa mada kuhusu Ukuzaji wa Mitaji kwa Kampuni iliyoorodheshwa Soko la Hisa.
 Mkurugezi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akifungua semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB katika ukumbi wa AICCjijini Arusha leo. 
Mwrnyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Martin Mmari akizungumza wakati wa semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB.
                        Mwanahisa akiuliza swali.
                              Washiriki wa semina hiyo.

No comments: