Sunday, May 10, 2015

RATIBA YA MKUTANO WA BUNGE LA BAJETI, KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016 TAREHE 12 MEI, 2015 HADI 27 JUNI, 2015.


NA.
TAREHE NA SIKU

SHUGHULI HUSIKA NA WIZARA
1.
JUMAMOSI
na
JUMAPILI
09/05/2015 -10/05/2015
Wabunge kuelekea Dodoma kutoka Dar es Salaam na sehemu mbalimbali.
2.
JUMATATU
11/05/2015

Saa 4.00 Asubuhi


Saa 10.00 Jioni


·      Kikao cha Pamoja cha Kamati ya Uongozi na Kamati ya Bajeti (Ukumbi wa Pius Msekwa)

·      Kikao cha Briefing kwa Wabunge wote
(Ukumbi wa Pius Msekwa)
3.
JUMANNE - JUMAMOSI
12/5/2015 - 16/5/2015
Mkutano wa Bunge kuanza kwa shughuli zifuatazo.

(i)          Maswali ;

HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA WAZIRI MKUU: (Siku 5)
·         SERA, URATIBU NA BUNGE.

·         UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI.

·         TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
4.
JUMATATU
18/5/2015
  • Maswali

HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA RAIS:

  • MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA

  • UTAWALA BORA

  • MAHUSIANO NA URATIBU

5.
JUMANNE
19/5/2015

  • Maswali

HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO NA MAZINGIRA).
6.
JUMATANO
20/5/2015
  • Maswali

  • HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA

7.

ALHAMISI
21/5/2015
  • Maswali

  • HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA KATIBA NA SHERIA
8.
IJUMAA
22/5/2015


·      Maswali

·      HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

·      HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA.
9.
JUMAMOSI
23/5/2015
  • HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI
10.

JUMATATU
25/5/2015
·      Maswali

·   HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

·      HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KAZI NA AJIRA.
11.
JUMANNE
26/5/2015
  • Maswali

·      HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA

·      HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
12.
JUMATANO
27/5/2015
·      Maswali

·     HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
13.
ALHAMISI
28/5/2015
·     Maswali

  • HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII.

·      HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO

14.
IJUMAA
29/5/2015
·      Maswali

·      HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI.

·     HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA.
15.
JUMAMOSI
30/5/2015
·      HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UCHUKUZI
16.
JUMATATU
 01/6/2015
  • Maswali

  • HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
17.
JUMANNE
02/6/2015


·      Maswali

·      HOTUBA YA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
18.
JUMATANO
03/6/2015
·     Maswali

  • HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAJI.
19.
ALHAMISI
04/6/2015

·     Maswali

·      HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
20.
IJUMAA
05/6/2015
·      Maswali.

·      HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI.
21
JUMAMOSI
06/06/2015
  • HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA
22.
          JUMATATU  - JUMATANO
08/6/2015 – 10/6/2015
  • Maswali;

Serikali  kushauriana na Kamati ya Bajeti Kufanya Majumuisho kuzingatia Hoja zenye Maslahi kwa Taifa zilizojitokeza wakati wa kujadili Bajeti za Wizara;(Siku 3)
23.
ALHAMISI
11/6/2015
·            Maswali

(i)            Waziri anayehusika na Mipango Kusoma Taarifa ya Hali ya Uchumi.

(ii)          Waziri wa Fedha Kusoma Hotuba ya Bajeti ya Serikali.

24.
IJUMAA
12/6/2015
Wajumbe Kusoma na kutafakari Hotuba ya Bajeti.
25.
JUMATATU - JUMANNE
15/6/2015 - 23/6/2015


·         Maswali

·         MJADALA KUHUSU BAJETI  YA SERIKALI
(Siku 7)
26.
JUMATANO
24/6/2015
·      Maswali

·      Muswada wa Sheria ya Fedha za Matumizi (The Appropriation Bill, 2015)
·      Muswada wa Sheria ya Fedha (The Finance Bill, 2015)
27.
ALHAMISI - IJUMAA
25/6 – 26/6/2015

·      Maswali
·      Muswada wa Sheria ya Fedha (The Finance Bill, 2015)
28.
JUMAMOSI
27/6/2015

             KUFUNGA BUNGE

No comments: