Sunday, May 17, 2015

RAIS NYUSI WA MSUMBIJI APATA MAPOKEZI MAKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM.

 Msanii wa kikundi cha ngoma ya Mganda akitumbuiza  wakati wa mapokezi ya Rais wa Msumbiji Mhe Filipe Nyusi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere
 Ngoma ya mganda 
 Sindimba 
 Kinamama wa kikundi cha Mount Usambara hawako nyuma
 Rais Kikwete akisogea sehemu ya kumpokea mgeni
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akisalimiana na balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe  Shamim Nyanduga. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) Mhe Hawa Ghasia
 Rais Kikwete akiongea na Flower girl Elizabeth Jackson aliye tayari kumkabidhi mgeni shada
 Rais Nyuzi akitelemka katika ndege baada ya kuwasili
 "....Karibu nyumbani..." anasema Rais Kikwete anapomlaki Rais Nyusi
 Wanakumbatiana kwa furaha
 Rais Nyusi anapokea shada la maua kutoka kwa mtoto Elizabeth
 Rais Nyusi anamshukuru Elizabeth kwa maua
 Rais Nyusi akitambulishwa kwa balozi Shamim Nyanduga
 Rais Nyusi akitambulishwa kwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Saidi Mwambungu
 Rais Nyusi akitambulishwa kwa wasaidizi wa Rais

 Rais Kikwete na Mgeni wake wanasimama jukwaa maalumu wakati wa nyimbo za Taifa zikipigwa
 Askari hodari wakipiga mizinga 21 kwa mbali kule
 Rais Nyusi anakaribishwa kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa kwa heshima yake
 Rais Nyusi anakagua gwaride 
 Rais Nyusi anaendelea kukagua gwaride 
 Rais Kikwete anatambulishwa wa ujumbe alioongozana nao Rais Nyusi
 Rais Nyusi anafurahia ngoma
 Rais Nyusi anawasili hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro na kulakiwa na meneja mkuu wake
 Rais Kikwete akitambulishwa kwa maafisa waliooongozana na Rais Nyusi
 Mamia ya wananchi wakimsubiri mgeni Ikulu
 Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
  Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
  Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
  Rais Kikwete akiongea na badhi ya vijana waliojitokeza kumpokea Rais Nyusi Ikulu
 Zuria jekundu na wananchi vikimsubiri mgeni
 Rais Nyusi alakiwa kwa nderemo
  Rais Nyusi akilakiwa kwa shangwe
 Rais Kikwete akipeana mkono na mgeni wake baada ya mapokezi makubwa
 Sehemu ya wanahabari wa Tanzania na Msumbiji wakiwa kazini 
 Rais Kikwete katika mazungumzo rasmi na mgeni wake 
 Rais Nyusi akimkabidhi mwenyeji wake zawadi
 Rais Kikwete akimkabidhi mgeni zawadi yake
 Rais Kikwete na mgeni wake wakiongea kabla ya dhifa ya kitaifa aliyomwandalia
 Rais Kikwete na mgeni wake na mawaziri wa nchi zao wakiongea kabla ya dhifa ya kitaifa aliyomwandalia
  Rais Kikwete na mgeni wake katika dhifa ya kitaifa aliyomwandalia
  Rais Kikwete akihutubia wakati wa  dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Rais Nyusi
 Rais Kikwete agonganishwa glasi na mgeni wake wakati wa  dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Rais Nyusi
 Rais Nyusi akitoa hotuba yake
 Sehemu ya mawaziri na mabalozi
 Sehemu ya viongozi mbalimbali
 Mabalozi wa nchi mbalimbali walioalikwa
 Mabalozi
 Mawaziri na mabalozi
 Rais Kikwete akigonganisha glasi na mgeni wake
 Mawaziri wakigonganisha glasi
 Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba na waalikwa wengine
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Paul Makonda (kushoto), Mbunge wa Singida Mhe. Mo Dewji, Mwenyekiti wa Yanga Bw. Yusuf Manji na Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF Bw. Godfrey Simbeye
Baadhi ya maafisa wa protokali wa Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa. Picha zote na IKULU

No comments: