Friday, May 29, 2015

BONDIA FRANSIC CHEKA KUZIPIGA KESHO MAY 30 UKUMBI WA P.T.A SABASABA.

Mabondia Francis Cheka kushoto na Kiatchai Singwancha wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa May 30 utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A sabasaba .
PICHA NA SUPER D BOXING NEWS


Mabondia Francis Cheka kushoto na Kiatchai Singwancha wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumamosi ya May 30 utakaofanyika katika ukumbi wa P.T.A sabasaba 
PICHA NA SUPER D BOXING NEWS


Mabondia Selemani Zugo naq Twaha Kiduku wakitunishiana misuli
BONDIA JOSEPH SINKALA AKITUNISHIANA UBAVU NA IBRAHIMU MAOKOLA BAADA YA KUPIMA UZIDO KWA AJILI YA MPAMBANO WAO W MEI 30 KATIKA UKUMBI WA P.T.A SABASABA PICHA NA SUPER D BOXING NEWS


BONDIA EPSON JOHN AKIPIMA UZITO

No comments: