Thursday, February 12, 2015

MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA SHULE YA MSINGI MPILIPILI KWENYE KITENGO CHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM NA PIA MATAWI YA CCM LINDI MJINI.

  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishiriki kufundisha darasa la wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma katika Shule ya Msingi Mpilipili huko Lindi tarehe 11.2.2015.
  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mpilipili mara baada ya kutembelea kitengo cha elimu maalum shuleni hapo tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM Mama Salma Kikwete akisahihisha madaftari ya wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma Shule ya Msingi Mpilipili katika Manispaa ya Lindi mara baada ya kuwafundisha na kuwapa zoezi wanafunzi hao tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM Mama Salma Kikwete akisahihisha madaftari ya wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma Shule ya Msingi Mpilipili katika Manispaa ya Lindi mara baada ya kuwafundisha na kuwapa zoezi wanafunzi hao tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mpilipili mara baada ya kutembelea kitengo cha elimu maalum shuleni hapo tarehe 11.2.2015.
  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwaelekeza wanafunzi wa Shule ya Msingi Mpilipili namna bora ya kubeba mifagio yao ili kuepuka kuwaumiza wanafunzi wenzao.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiagana na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mpilipili mara baada ya kutembelea kitengo cha elimu maalum tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM Mama Salma Kikwete akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi la Mtuleni B katika Kata ya Matopeni huko Lindi Mjini tarehe 11.2.2015.
 Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi la Mpilipili Kaskazini katika Kata ya Nachingwea huko Lindi Mjini tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma Kikwete akisalimiana na mamia ya wananchi wenye shauku kubwa wakati alipowasili kwenye eneo la mkutano wa hadhara kwenye Tawi la Mpilipili Kaskazini katika Kata ya Nachingwea huko Lindi Mjini tarehe 11.2.2015.
 Baadhi ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika katika Tawi la CCM Mpilipili Kaskazini wakimsikiliza kwa makini Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani) wakati alipowahutubia tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi (hawapo pichani) kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Tawi la Mpilipili katika Kata ya Nachingwea huko Lindi Mjini  tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwapungia mamia ya wananchi wa Kata ya Nachingwea baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye Tawi la Mpilipili Kaskazini huko Lindi Mjini tarehe 11.2.2015.
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mwalimu Mkuu Ndugu Fadhili Mtitima wa Shule ya Msingi Mpilipili iliyoko Manispaa ya Lindi tarehe 11.2.2015. Mama Salma alikwenda shuleni hapo kuwatembelea wanafunzi wenye mahitaji maaalum.
PICHA NA JOHN  LUKUWI

No comments: