Monday, February 2, 2015

AIRTEL YAJA NA PROMOTION MPYA YA "SHINDA GARI NA YATOSHA ZAIDI.

Mkurugenzi wa kitengo cha Masoko wa Airtel Tanzania,Levi Nyakundi (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano wa Airtel Tanzania,Beatrice Singano Mallya (pili kulia) wakifunua moja wa Gari aina ya Toyota IST ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Promosheni mpya ya Yatosha Zaidi ambayo itawawezesha wateja wa Airtel wanaotumia huduma ya Airtel Yatosha kujishindia zawadi ya Gari kupitia droo maalim itakayokuwa ikichezeshwa kila siku kwa muda wa miezi miwili,wateja watakaojiunga na Airtel Yatosha wataingia moja kwa moja kwenye droo ya Promosheni hiyo.
Mkurugenzi wa kitengo cha Masoko wa Airtel Tanzania,Levi Nyakundi (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano wa Airtel Tanzania,Beatrice Singano Mallya (pili kulia) wakionyesha kipeperushi cha Promosheni hiyo iliyozinduliwa rasmi leo kwenye viwanja vya Mlimani City,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa kitengo cha Masoko wa Airtel Tanzania,Levi Nyakundi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Promosheni mpya ya Yatosha Zaidi ambayo itawawezesha wateja wa Airtel wanaotumia huduma ya Airtel Yatosha kujishindia zawadi ya Gari aina ya Toyota IST kupitia droo maalim itakayokuwa ikichezeshwa kila siku kwa muda wa miezi miwili,wateja watakaojiunga na Airtel Yatosha wataingia moja kwa moja kwenye droo ya Promosheni hiyo.Kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano wa Airtel Tanzania,Beatrice Singano Mallya.
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano wa Airtel Tanzania,Beatrice Singano Mallya akifafanua jambo wakati mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye uzinduzi wa Promosheni mpya ya Yatosha Zaidi ambayo itawawezesha wateja wa Airtel wanaotumia huduma ya Airtel Yatosha kujishindia zawadi ya Gari aina ya Toyota IST kupitia droo maalim itakayokuwa ikichezeshwa kila siku kwa muda wa miezi miwili,wateja watakaojiunga na Airtel Yatosha wataingia moja kwa moja kwenye droo ya Promosheni hiyo.
Sehemu ya Waandishi wa Habari wa vyombo mbali mbali wakiwa kwenye hafla ya uzinduzi wa Promosheni hiyo.
Sehemu ya Magari yatakayotolewa kwa washindi wa Promosheni ya Airtel Yatisha Zaidi.

Balozi wa Promosheni hiyo,Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya,Ney wa Mitego akiwa kwenye moja ya magari hayo.
Uzinduzi huo ilinogeshwa na burudani kutoka kwa vijana hawa.

No comments: