mkulugenzi wa libeneke la mtaa kwa mtaa blog Bw,Othman Michuzi akijinyakulia zawadi ya simu kutoka kwaa jacqueline ngull muwakilishi kutoka kampuni ya cocacola.(share a coke tz)
mzee wa mtaa kwa mtaa mr, Othman Michuzi akiwa amezungukwa na walembo kutoka cocacola(share a coke tz) Aisha Kirambi(shoto) na bi jacqueline ngull waki onesha moja ya za wadi ya kinywaji kutoka kampuni ya cocacola yenye jina la Othman,
No comments:
Post a Comment