Thursday, January 8, 2015

JAMII YA MFUNZA MDAU.

Unaambiwa asie funzwa na mamae, hufunzwa na walimwengu  katika udadafuaji wa mitaa mbalimbali,mdau wa mtaa wa mafiati jijini mbeya jina lake kapuni akiwa amelianzisha kwa kuleta vulugu za hapa na pale kuwafanya maswaipa wake wawe wapweke kwa zengwe alilo lianzisha kwa kuwa changamsha changamsha maswaiba zake kwa kipigo kidogo kidogo alicho kuwa akiwapatia marafiki hao, kutokana na maji ya mende kutawala kichwa chake, ghafla bini vuu siunajua sikuzote ukisikia "nyumaaa geukaa" wamwisho ana kuwa wa kwanza ndivyo zamu ya mdau huyo ilipo fika baina yake yeye na walimwengu. 



 mdau akiwa amewasha moto kwa swaiba wake ambee kidogo ni mdhaifu wa nyama za misuli.
 kibao kika mgeukia mdau huyo alie kuwa akileta vulugu mtaani hapo jamii ikiwa imevalia njuga jambo hilo.

 jamii ina mchezoo basiii? ikamkamata sawa sawa mdau huyo kuelekea hukoo mwisho wa nyodooo.

 mdau ali kuja kwa mguu analudishwa kwa mchumaa unao ongozwa na muadabishaji wa vijanaa mtaani hapo.
 baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo lililo tokea leo katika mtaa wa mafiati maharufu kwa jina la (kwa mama Atick) jijini mbeya.

No comments: