Monday, December 29, 2014

HIVI NDIVYO MVUA ILIVYO LETA ZENGWE LEO JIJINI DAR ES SALAAM.

 Matolori ya kuuzia ice creame yakionekana kununiwa leo,huku wapita njia wakiendelea kupiga mbizi kwenye maji hayo.
 Barabara ya Bibi Titi Mohamed mambo yalikuwa namna hii,wenye magari madogo walipita kwa staili ya maji ya shingo.
 Hapa tena,mwendo wa viatu mkononi.
 Kipando nacho kimeroga.
 Hapa ndio inakuwaga kimbebe,maana daladala ndio lishabuma tena.
 "Hii mvua isharoga tena,na huu mwamvuli miyeyusho kweli".
Hapa dawa ni kutoka nduki tuu...
Kipini cha nguvu barabara ya Umoja wa Mataifa kutokea Faya.

Hakuna namna nyingine ya kuyakwepa maji haya.hapa ni Posta mpya leo.
Posta mpya mambo inogilee.
Mojaaa..... mbiliii.... taaaatuuuuu...... Shtuaaaaa..
Jamaa wakipiga kibeda Nadia iliyobuma katikati ya barabara,maeneo ya Sinza.
Hapa ni Bamaga leo.

No comments: