hii stepu sijui inaitwaje hiii maana uo mkunjoo duu.
jamaa akiendelea kuselebuka kwa aina yake na stepu yake mpya katika ukumbi wa nanii pale.
punde
ghafla bini vuu mdau akajigeuzaa kama samaki vile, jamani wadau tunapo
tumia maji ya mende tujitahidi kuji balansi siuna ona jamaa apo alivyo
punguza maksi kwa ndugu na jamaa zakee.
No comments:
Post a Comment