Sunday, December 28, 2014

FURAHA IKIZIDI MATOKEO YAKE NDO HAYA SASA.

Tumebahatika kumnasa mdau akiwa amezidiwa na burudani katika hafra ya harusi ya nanii pale,mzuka wa burudani ulipanda zaidii mara baada ya kupiga maji ya mende chupa kadhaa hivii.
                           hii stepu sijui inaitwaje hiii maana uo mkunjoo duu.
  jamaa akiendelea kuselebuka kwa aina yake na stepu yake mpya katika ukumbi wa nanii pale.
punde ghafla bini vuu mdau akajigeuzaa kama samaki vile, jamani wadau tunapo tumia maji ya mende tujitahidi kuji balansi siuna ona jamaa apo alivyo punguza maksi kwa ndugu na jamaa zakee.

No comments: