Thursday, November 13, 2014

COUNTRY BOY BITHDAY PARTY.

Alizaliwa Nov 15,Majira ya usiku,Lakini juma pili hii Nov 16,bonge la Birthday Party ndani ya Maisha club,Kwa kiingilio cha sh.10,000 tu mlangoni, kwa wote wanao sapoti muziki wa country Boy tujumuike kwa pamojaa,Atasindikizwa na Young Dee,Stamina,Tundaman bila kumsahau mzee mzima Babuu wa kitaa, Sio ya kukosa hii.

No comments: